23 Februari 2026 - 22:29
Sala ya Jamaa na Sala ya Usiku: Ni Ibada mbili zinazokamilishana na ni Njia Mbili za Kuimarisha Uimara wa Kiroho

Sala ya Jamaa na Sala ya Usiku ni ibada zinazokamilishana; anayeshikamana na moja huimarika katika nyingine, na zote mbili ni njia muhimu ya kujenga taqwa na ukaribu kwa Mwenyezi Mungu.

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Yeyote anayehudhuria Sala ya Jamaa kwa kudumu, atakuwa pia miongoni mwa wanaosimamisha Sala ya Usiku (Tahajjud); na anayesimamisha Swala ya Usiku kwa ikhlasi, hatokosa kuwa miongoni mwa wanaoshiriki Swala ya Jamaa. Ibada hizi mbili zinakamilishana na ni nguzo muhimu katika kujenga uimara wa kiroho na ukaribu kwa Mwenyezi Mungu.

Sala ya Jamaa na Sala ya Usiku: Ni Ibada mbili zinazokamilishana na ni Njia Mbili za Kuimarisha Uimara wa Kiroho

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha